Tuesday, June 24, 2008

JUNI 24,2008 Taarifa ndogo ya ukweli kuhusu Tanzania

Najua wote mtasema nani asiyejua hiyo taarifa ndogo kuhusu Tanzania sawa lakini mimi nawakumbusha tena.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Tanzania kwa kifupi TZ
Ukubwa wa eneo la nchi ni 945000 km za mraba
Uwingi wa watu (20069 ilikuwa 37,9 milioni
Mji mkuu ni Dodoma
Lufha zinazotumika mara nyingi ni kiswahili na kiingereza
Utawala ni Jamuhuri
Rais Jakaya Kikwete
Waziri mkuu ni Mizengo Pinda
Shiling moja = 100cent
Kwa kifupi inaandikwa TZS
Namba ya nch ya simu ni 255
Tofauti wa masaa ukilinganisha na sweden ni +2
Siku ya Taifa (kupata Uhuru) 26 april 1964

MAZINGIRA;

Ardhi itumikayo; misitu asilimia (38%) kilimo (10%) malisho ya wanyama (52%)

Mlima; kilimanjaro ambao urefu wake ni 5895

Maziwa makubwa; ziwa viktoria lina upana wa mita 69800, ziwa Tanganyika upana wake ni mita 32900 na ziwa malawi upana wake ni mita 31000

WAKAZI
2006 kulikuwa na watu 40 katika kila eneo km za mraba

Miundo ya miaka 2005) 0-14 (45%), 15-64 (52%) na 65-(3%)
Kima cha kuishi (2005) ni miaka 44, wanaume miaka 43 na wanawake miaka 45
Kati ya watoto wanaozaliwa wanaopona ni 68 kati ya 1000.
Inasemekana mwaka 2050 kutakuwa na watu milioni 71,4.
Tofauti ya watu 2005 -50 ni 96%
Watu na miji tajiri (2005) ni Dar es Salaam (2,7 milioni) Mwanza (436800) Zanzibar (403700)

MAZAO YA CHAKULA NA UCHUMI

Usafirishaji 2005, 1,581 milioni US dolla
Mazao muhimu yanayosafirisha, dhahabu, kahawa na korosho.
Nchi ambazo Tanzania zinazosafirisha bidhaa ni India, Usipania na Uholanzi
Uingizaji (2005), 2391 milioni US dolla
Vitu muhimu vinavyoingia ni mashine, na vyombo vya usafiri pia mafuta
Nchi muhimu zinazoingiza ni Afrika kusini, China na India.

Na; Yasinta Ngonyani

No comments: