Monday, August 29, 2016

NI JUMATATU YA MWISHO YA MWEZI HUU WA NANE(8) NA UJUMBE KUTOKA KWA BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO NI HUU! KAMWE USISAHAU AINA HIZI TATU (3) ZA WATU MWAISHANI MWAKO...

1. Mtu ambaye ame/alikusaidia ulipokuwa na hali/wakati ngumu/mgumu

2. Mtu aliyekuacha ukiwa na wakati/hali ngumu/mgumu

3. Mtu aliyekuweka katika hali/wakati ngumu/mgumu.
NAWATAKIENI WOTE MLIOPITA HAPA JUMATATU NJEMA. TUPO PAMOJA!

No comments: