Friday, January 31, 2014

MWISHO WA MWEZI JANUARI TUUMALIZE ZILIPENDWA HATA KAMA SIELEWI ILA MZIKI UNACKEZEKA...KARIBUNI!!!!!!.....


AU TU LABDA TUSIKILIZE NA HUU WIMBO WA MONICA....


Mara nyingi ukiwa sambamba sana na walezi huwa unakumbuka vitu vingi sana.....nadhani mmenielewa...haya tuendelee kuselebuka ...tuonane mwezi ujao.  Oh! Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutulinda salama wote tulioumaliza mwezi huu na pia napenda kuwaombea wote waliotutangulia na pia wagonjwa. Na pole nyingi kwa ndugu zetu wa Morogoro /Kilosa mji kasoro bahari, Mungu awape nguvu. IJUMAA NJEMA.

No comments: