Saturday, March 12, 2011

PICHA ZA WIKI HII:- KIDUKU...........

Picha hizi nimetumiwa na kaka yangu wa hiari Shabani Kaluse na katika picha hizo kuna shangazi yangu wa hiari mwanaye Kaka Shabani ni huyu kijana mwenye T-shirt nyekundu. Anaitwa Abraham.
Alianza huyu.....
Kisha huyu.....

Baadaye mweh....

Weweee..toka hapa

Subiri weweeeeeeeeee...

Ngoja tupige picha ya pamoja...
NAWATAKIENI WOTE JUMAMOSI NJEMA NA MAPUMZIKO MEMA PIA TUTAONANA WAKATI MWINGINE!!!!!

9 comments:

Anonymous said...

Wacha wee,watoto wanakula kiduku kama kazi safisana.pia wakati naangalia picha hii ya watoto hawa wa ktanzania,kunawazo limeniijia,nalo lina husu amani,ukiwaona hao watoto jinsi wanavyo cheza na kufurahi, ni ushahidi tosha kuwa amani ni muhimu sana ili tuwe na watoto wanao weza kucheza kiduku bila wasiwasi.kaka s

Simon Kitururu said...

Poa sana!

EDNA said...

Kiduku oyeeeee! jumamosi njema kwako pia mdada.

Mija Shija Sayi said...

Safi sana, Yasinta hivi hata mtoto wa kiume unaweza mwita shangazi?

John Mwaipopo said...

natamani kucheza kiduku lakini siwezi.

anon unataka kututoa kwenye mjadala wa kiduku kiujanja.

Rachel Siwa said...

hahaha Abraham mmhhh jamani mbona umeganda hapo kwa vidada wewe uchezi?

Goodman Manyanya Phiri said...

Na yule mfupi kuliko wote ndie anacheza kuwashinda wote. Nani alisema SIZE COUNTS?

Salehe Msanda said...

Picha ya wiki inayohusiana na kiduku aliyokutumia kaluse ina somo la kaubunifu kwa hao watoto changamoto iliyopo ni jinsi gani sisi watanzania tunashiriki kwa mtazamo chanya katika kukuza au kuwafanya watoto wetu wawe wabunifu. Ninachokiona tuliowengi tunachangia katika kuua ubunifu unaonyeshwa na wanantu.

Je kuna lolote la kujifunza kupitia kipindi hiki cha kwarezima kwa sisi watanzania?

Kila la kheri na bigup.

Yasinta Ngonyani said...

Ahsanteni wote kwa kutoa mchango wenu mzuru . watoto ni viumbe visivyo na aibu wanabuni mambo mengi sana.