Friday, October 27, 2017

IJUMAA YA LEO TUANGALIE/TUCHEZE NGOMA YA MGANDA AMBAYO NI NGOMA MAARUFU ZIWA NYASA


Ngoma ya mganda ni miongoni mwa ngoma maarufu Tanzania ambayo inapatikana mwambao mwa ziwa Nyasa Mkoa wa Ruvuma. Ngoma hii pia maarufu katika nchi ya Malawi. Natumaini utaifurahia basi nikutakieni mwisho mwema wa juma hili. IJUMAA NJEMA!

2 comments:

Prince Emac said...

Nawe piaaaa

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante sana ndugu yangu