Thursday, May 21, 2015

CHAGUA LA MAISHA NA MAFANIKIO KUWA HIZI PICHA ZIWE ZA WIKI: JE? UNAIKUMBUKA PICHA HII? NA JE? NI UBUNIFU AU?...

Nilitumiwa picha hii na msomaji wa Maisha na Mafanikio 2012kwanza nikashikwa na butwaa, na pili nikajiuliza ni ubunifu? Na tatu nikajiuliza kukosa mtu wa kumtunza mtoto au chekechea? Nawaachia mwenzangu tusaidiana kujadili hapa...Duh! ila sidhali kama mtoto huyo anapata raha hapo.....MCHANA MWEMA MAJEMANI!!!
NA LEO NIMETUMIWA HII HAPA

Kwa mimi naona afadhali ya hapa mtoto anapata raha kidogo maana ni mto ila huu mti, Duh ...Je? Na huu ni ubunifu? KILA LA KHERI PANAPO MAJALIWA TUTAONANA TENA!!

4 comments:

Nicky Mwangoka said...

Ila huku ni kutesa watoto bana

Yasinta Ngonyani said...

Nakubsluana nawe kaka Nicky ni kweli si ubonifu mzuri na sahihi.

Anonymous said...

A very dirty trick.

Yasinta Ngonyani said...

Usiye na jina :-)