Wednesday, May 14, 2014

NI MUDA MREFU SASA UMEPITA :- METHALI ZETU....

Nimeona usipite muda zaidi bila kuzikumbuka METHALI  zetu basi ungana nami  katika hizi chache nilizozikumbuka leo:-

1. Aninyimaye mbaazi, kanipunguzua mashuzi
2. Biashara haigombi.
3. Chanda chema huvikwa pete.
4. Dua la kuku halimpati mwewe.
5. Fimbo ya mbali haiui nyoka.
6. Kikulacho ki nguoni mwako.
7. Kosa moja haliachi mke.
8. Lisilokuwepo moyoni halipo machoni.
9. Mapenzi ni kikohozi hayaweza kufichika.
10. Mficha uchi hazai.
BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO INAWATAKIENI WOTE SIKU NJEMA SANA NA WOTE MNAPENDWA:-)

2 comments:

Interestedtips said...

mtaka cha uvunguni, sharti ainame

asante dada kutukumbusha

Yasinta Ngonyani said...

Hiyo nayo ni nzuri. Ahsante. Elimu hawanyimani!