Kama mjuavyo na udadisi wangu...nimejaribu kuatika UFUTA na umeota sasa swali niendelee vipi  ili kupata ufuta?
Hili si shamba langu. Ila naota kama lingekuwa langu . Kwa hiyo ndugu zangu naombeni msaada wenu ili nifanikishe ...Kaka Bennet msaaaadaaaaaa...

 
 
No comments:
Post a Comment