Tuesday, May 13, 2014

MMMHHH! WAZEE WAMEZUIA NJIA....HAKUNA HARAKA NI ZAMU YETU!!!!!

Hii huwa inatokea sana katika barabara zinazopita katikati ya Mbuga za wanyama. Kwa wale wanaopita katika barabata za kuelekea Mikoani nadhani tunafahamu haya, mara kadha nimekutana na hii pale MIKUMI MBUGANI. Halafu hawana haraka wao kama vile ule msemo usemao HAKUNA HARAKA AFRIKA...Kaaaazi kwelikweli!!!!

No comments: