Tuesday, December 11, 2012

KUMBUKUMBU .....TANZANIA!!!!!

 Shamba la katani ...ni Morogoro karibu na mlima wa Uluguru


Twiga wa Serengeti
Ngorongoro Crater

4 comments:

ray njau said...

Hii ndiyo Tanzania yetu na kila mwenye mapendo mema atafaidi ukarimu wetu!

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Ray! Ahsante kwa kutukumbusha hilo...

luddo17 said...

Nchi tajiri kwa raslimali, lkn maskini kiuchumi

Steven Bulamu said...

Waoooo nashukuru kunikumbusha------