Monday, November 9, 2009

TUJIVUNIE LUGHA YETU NZURI KISWAHILI



Dada Sarah Hilwat mtalii wa kibelgiji aliyekipenda kiswahili na maisha ya waswahili baada ya kutembelea Lamu, Kenya kwa masomo. Sasa anakichapa kwelikweli!

4 comments:

Fadhy Mtanga said...

Nami nimtakie kila la kheri katika kuizungumza lugha adhimu ya Kiswahili.

viva afrika said...

nakipenda, nakiheshimu, nakihusudu, nakitumia na kukitangaza kadiri niwezavyo!

Yasinta Ngonyani said...

Fdhy ! ni kweli kabisa kheri dada Sarah.

Viva afrika! nimeyapenda maneno yako nanukuu" nakipenda, nakiheshimu, nakihusudu, nakitumia na kukitangaza kadri niwezavyo"! nami nakuunga mkono unajua kuna watu wakijua tu kiingereza basi wanajifanya hawajui tena kiswahili na pia eti hawajui tena lugha ya mama na baba (kilugha) nawahurumia sana .

obat vimax said...

vimax thanks gan infonya vimax asli di tunggu info selanjutnya gan obat klg