Wednesday, January 31, 2018
RUVUMA....MKUU WA MKOA WA RUVUMA AKUTANA NA BARAZA LA WAZEE WA KUMBUKUMBU YA VITA YA MAJIMAJI
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akutana na Baraza la wazee wa kumbukumbu ya vita vya majimaji ambapo pia alipata nafasi ya kutembelea maeneo ya makumbusho. Tunawashukuru na tutaendelea kuwaenzi mashujaa wetu waliopigania haki za watanzania na kukataa kutawaliwa na wakoloni. Mungu awarehemu. Amina
Jumatatu njema ndugu zanguni...ni jumatano ya mwisho ya mwezi huu wa kwanza/januari
Monday, January 29, 2018
Friday, January 26, 2018
Wednesday, January 24, 2018
Monday, January 22, 2018
Friday, January 19, 2018
SALAMU KUTOKA RUHUWIKO/SONGEA NAWATAKIENI MWISHO MWEMA WA JUMA
Ni mwisho wa juma mwingine tena nami napenda kuwatakieni wote WAKATI MZURI WENYE AMANI, FURAHA NA AMANI VITAWALE MIOYONI MWENU....TUKUTANE TENA WAKATI MWINGINE,,,.....KAPULYA WENU.
Thursday, January 18, 2018
LEO TUANGALIE MAZINGIRA YA KWETU RUHUWIKO NYUMBANI KWA KAPULYA WENU
Hapa ni shamba, kwa kawaida tulitaka sehemu hii iwe sehemu ya bustani ya matunda kama muonavyo migomba ya ndizi, kuna miti ya machungwa, miti ya mipapai, pilipili, manananasi na mahindi pia yapo ila hapo baadaye itakuwa ni matunda tu.
...unapopika vyakula vingi hususani tembele ni tamu ukiweka limao kwa mbali basi kapulya wenu anao mti wa limao ....TUKUTANE TENA PANAPO MAJALIWA....KARIBUNI RUHUWIKO KWETU:-)
Hapa ni mti wa parachichi nadhani karibuni tutaanza kula
Hapa ndo palishinda kila kitu maana hii ni mboga niipendayo sana sana matembele:-)........unapopika vyakula vingi hususani tembele ni tamu ukiweka limao kwa mbali basi kapulya wenu anao mti wa limao ....TUKUTANE TENA PANAPO MAJALIWA....KARIBUNI RUHUWIKO KWETU:-)
Wednesday, January 17, 2018
BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO IMEONA HII IWE PICHA YA WIKI
Monday, January 15, 2018
Friday, January 12, 2018
SIJUII KUZALIWA TANZANIA...TUPENDANE
NAWATAKIENI WOTE MWISHO MWEMA WA JUMA. TUSIKAMANE NA TUTAKIANE UPENDO NA AMANI PIA FURAHA DAIMA
Tuesday, January 9, 2018
NILIPOKUWA SAFARINI ....NYUMBANI RUVUMA 2017 NA HAPA BAADHI YA PICHA NA MATUNIO...
Hii ni barabara toka Songea kwenda Peramiho ..miaka 3 iliyopita hiki kibao hakikuwepo ...maendeleo ni kasi sana inafurahisha:-)
Kutua ardhi uliyozaliwa sio mchezo ni raha sana kama muonavyo Mungu anavyoshukuriwa na hapa pia ni Peramiho
Na raha inaongezeka pale unapokutana na ndugu kama hapa huyu ni binti Lucy ni binti ya kakangu.
kwa leo tuishie hapa panapo majaliwa na tutaendelea na picha pia matukio mengine ya huko Ruvuma kwetu.....
Kutua ardhi uliyozaliwa sio mchezo ni raha sana kama muonavyo Mungu anavyoshukuriwa na hapa pia ni Peramiho
Na raha inaongezeka pale unapokutana na ndugu kama hapa huyu ni binti Lucy ni binti ya kakangu.
kwa leo tuishie hapa panapo majaliwa na tutaendelea na picha pia matukio mengine ya huko Ruvuma kwetu.....
Monday, January 8, 2018
Friday, January 5, 2018
NACHUKUA NAFASI HII KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUNIONGEZEA MWAKA MWINGINE TENA
Namshukuru Mwenyezi Mungu, kwa kuniongezea mwaka mwingine katika maisha yangu....kuna wengine walizaliwa siku kama hii lakini hawapo duniani kusherekea siku yao.
Hongera kwa mimi na wengine wote waliozaliwa siku kama hii......uzee nao ndo huuoo unanivizia KARIBUNI KUSHEREHEKEA NAMI:-)
Hongera kwa mimi na wengine wote waliozaliwa siku kama hii......uzee nao ndo huuoo unanivizia KARIBUNI KUSHEREHEKEA NAMI:-)
Monday, January 1, 2018
NAPENDA KUWATAKIENI WOTE KHERI YA MWAKA MPYA 2018
KARIBU TUANZE MWAKA MPYA KWA MTINDO HUU UGALI NA MAHAREGE, MBOGA MAJANI NA MLENDA.
TUMALIZIA NA KUSIKILIZA KIPANDE HIKI CHA MZIKI
KHERI SANA KWA MWAKA MPYA 2018...
TUMALIZIA NA KUSIKILIZA KIPANDE HIKI CHA MZIKI
KHERI SANA KWA MWAKA MPYA 2018...
Saturday, December 30, 2017
Monday, December 25, 2017
Friday, December 22, 2017
PERAMIHO KIZIZINI LEO 22/12/2017 IJUMAA NJENA WANDUGU
Mdada anafurshia kuwa nyumbani -:)
Leo nilikuwa Peramiho na hapa ni kizizini kwa wale wenyeji wa peramiho wanajua. Na wasiojua ni sehemu ufugaji bora......
Wednesday, December 20, 2017
Tuesday, December 12, 2017
MKIONA KIMYA BASI JUENI NIMEKWENDA KULA LIKOLO LA NANYUNGU-:) NYUMBANI NI NYUMBANI
Napenda kuwatakieni wote afya njema kwa kipindi hiki kijacho cha NOELI. Binafsi nitakuwa katika mapumziko kula likolo la nanyungu. KARIBUNI SANA.
PANAPO MAJALIWA TUTAONANA TENA NA KUSEMA. NI MIMI KAPULYA WENU.
Wednesday, December 6, 2017
JE? WEWE UNAPENDA MATUNDA GANI? MIMI NAPENDA MACHENZA NA MAPAPAI
Kwanza MACHENZA Haya ni mepesi kumenya,hayana ukakasi wala uchungu kwa kifupi ni matamu.
Pili ni mapapai haya ni matamu sana pia ni safi sana kulainishia nyama kama vile nyama ya ngòmbe utapenda nakuambia....
Pili ni mapapai haya ni matamu sana pia ni safi sana kulainishia nyama kama vile nyama ya ngòmbe utapenda nakuambia....
Tuesday, December 5, 2017
VISODA NA MATUMIZI YAKE......UBUNIFU
Wakati wengine wakitumia kama mapambo........urembo
wengine wanatumia kama vihesabio. Je? wewe umewahi kutumia kifaa hiki kwa mtindo wowote mwingine?
Thursday, November 30, 2017
TUUMALIZE MWEZI HUU NA KIPANDE HIKI CHA URAFIKI MWISHO WA MWEZI...
NAWATAKIENI MWISHO MWEMA WA MWEZI NA AFYA NJEMA KUUPOKEA MWEZI MPYA...
Tuesday, November 28, 2017
Monday, November 27, 2017
TUMALIZE JUMATATU YA MWEZI HUU WA KUMI NA MOJA KWA MTINDO HUU....UREMBO WA ASILI
Heleni ....ambazo ni kazi za mikono ya watu kwa ubunifu safi kabisa
Na hapa ni pia ubunifu mzuri kabisa wa viatu/sandosi.
NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII NA KUWATAKIENI WOTE MTAKAOPITA HAPA JUMATATU NJEMA SANA NA OMBI LANGU NI KWAMBA TUDUMISHE UTAMADNI WETU....Kapulya wenu...!
Subscribe to:
Posts (Atom)