Monday, January 22, 2018

NYASA NI MAARUFU KWA KILIMO CHA MATUNDA

 
Hapa ni kijiji cha Ndengele katika wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma tulimkuta kijana anauza ndizi mkungu mzima shilingi 2000 tu.


Katika eneo la Liuli tulikuta mananasi matatu yanauzwa shilingi 1000.

NB; Albano Midelo

2 comments:

Samwel protus said...

Dah jaman ningekuwa huko hadi furahaaa

Yasinta Ngonyani said...

Samweli ...karibu sana sana!