Tuesday, January 9, 2018

NILIPOKUWA SAFARINI ....NYUMBANI RUVUMA 2017 NA HAPA BAADHI YA PICHA NA MATUNIO...

Hii ni barabara toka Songea kwenda Peramiho ..miaka 3 iliyopita hiki kibao hakikuwepo ...maendeleo ni kasi sana inafurahisha:-)
Kutua ardhi uliyozaliwa sio mchezo ni raha sana  kama muonavyo Mungu anavyoshukuriwa na hapa pia ni Peramiho
Na raha inaongezeka pale unapokutana na ndugu  kama hapa huyu ni binti  Lucy ni binti ya kakangu.
kwa leo tuishie hapa  panapo majaliwa na tutaendelea na picha pia matukio mengine ya huko Ruvuma kwetu.....

4 comments:

emuthree said...

Kumbe ulikuja kimia kimia kama kawaida yako ukaondoka kimia kimia...nimefurahi sana kuona hizo picha,...hasa hiyo hapo ya kumshukuru bwana mungu wako. Tupo pamoja

Yasinta Ngonyani said...

Ndugu wa mimi emuthree uniwie radhi kwa hili ila nadhani niliaga:-) Pamoja daima

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Mie nilimuona mitaa ya Songea na Manda.

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Mhango bwana kumbe nawe upo huko? Mbona hukunistua?