Wednesday, January 17, 2018

BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO IMEONA HII IWE PICHA YA WIKI

Nikiangalia hii picha nakumbuka/najikumbuka mwenyewe jinsi tulivyokuwa kule kijijini KINGOLE tulikuwa na shamba la mihogo mbali kidogo mtaa wa LEGEZA...Basi nakumbuka  sana enzi zile.

No comments: