Monday, January 15, 2018

LEO TUANZA JUMATATU HII KIHIVI...KARIBUNI TUFINYANGE NDUGU ZANGU

....Na  kabla ya kula yatupasa kumshukuru Mungu....haya na sasa tuanze kufinyanga kwa pamoja.

2 comments:

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Dada huo sasa uchokozi. Tafadhali ondoa hii kitu tusibubujikwe na mate bure. Lakini salama huko?

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Mhango sio uchokozi au wewe unachokozeka haraka hivyo..? Huku salama tu tunapambana na kila ikiwa leo...huko kwema?