Wednesday, January 31, 2018

RUVUMA....MKUU WA MKOA WA RUVUMA AKUTANA NA BARAZA LA WAZEE WA KUMBUKUMBU YA VITA YA MAJIMAJI


Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  akutana na Baraza la wazee wa kumbukumbu ya vita vya majimaji ambapo pia alipata nafasi ya kutembelea maeneo ya makumbusho. Tunawashukuru na tutaendelea kuwaenzi mashujaa wetu waliopigania haki za watanzania na kukataa kutawaliwa na wakoloni. Mungu awarehemu. Amina


Jumatatu njema ndugu zanguni...ni jumatano ya mwisho ya mwezi huu wa kwanza/januari

No comments: