Monday, September 26, 2016

WIKI HII TUANZE NA MAPISHI AMBAYO WENGI TUMEPIKA NA KUKULIA....NIMEKUMBUKA SANA MAPISHI HAYA YA KUTUMIA MAFIGA MATATU...

Kwenye chungu ni makande, wakati ukisubiri makande yaive  basi ni mtindo mmoja tu kuchoma mahindi....Na ujuavyo chakula cha kupikia  kwenye chungu kinavyokuwakitamu.....

2 comments:

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Sijui miti ikiisha hii kitu tutachomea nini. Ama kweli tumetoka na kutokezea mbali!

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Mhango! ndo maana tunaambiwa tukate miti na kupanda tena....Haswaaa tumetoka mbali