Sunday, September 18, 2016

SALA YANGU YA JUMAPILI YA LEO...TUSALI KWA PAMOJA...

Ee Mwenyezi Mungu, mikononi mwako niguse kama ulivyo waguse vipofu wakaona. Bariki familia yangu,  nyumba yetu, rafiki zangu, kazi yangu. Utupe riziki, wepesi wa maisha ya hapa duniani. Ee Mungu usikie maombi yetu. AMINA. JUMAPILI NJEMA KWA WOTE MTAKAOPITA HAPA!!

No comments: