Saturday, September 10, 2016

MALEZI YA WATOTO YANA CHANGAMOTO ZAKE/ KILA UMRI UNA SHUGHULI ZAKE. MAMA NA KIJANA WAKE!

Nadhani wazazi/walezi wengi wanajua jinsi ilivyo. Watoto wakiwa wadogo umri wa miaka 1 mpaka 5-6 wakati wote ni mama na baba...hasa na mama, na wafikiapo miaka 6-10 marafiki huwa pia na baada ya hapo marafiki huongezeka na ule utegemezi sana wa mama na baba hupungua. Hap nilipata wasaa kuongea na kijana  Erik...maana sio kila siku unaweza ukapata ule muda wa kubadilisha mawazo. Ilikuwa safi sana nadhani mnaweza kuona katika picha maana sura zinasema kila kitu.
JUMAMOSI NJEMA!!

No comments: