Friday, March 11, 2016

NAWATAKIENI MWISHO MWEMA WA JUMA HILI...

Juma/wiki hii imekuwa ndefu na majukumu mengi sana. Ila sasa nitapumzika siku mbili tatu na ninaamini nawe unayesoma hapa utapata nafasi ya kupumzika na kuwa na familia/ndugu, jamaa na  marafiki kwani ni jambo nzuri kufanya. Karibuni tujumuike...Nilikuwa nyumbani Ruhuwiko/Songea. IJUMAA NJEMA. Kapulya.

4 comments:

Rachel Siwa said...

Asante Kadala wa mimi,uwe na wakati mwema na familia.

Mussa Middy said...

Asante sana na kwako pia

Salehe Msanda said...

Asante

Nawe pia twakutakia mwisho mwema wa juma

Yasinta Ngonyani said...

Kachiki wa mimi Ahsante sana nami nasemi nawe pia Uwe na wakati mwema na familia.


Ndugu Zanguni Mussa na Salehe Ahsanteni sana.....Pia Nachukua na fursa hii kukukaribisha Kaka Mussa karibu sana katika kibaraza hiki.