Monday, July 5, 2010

Siri ya herufi ya mwanzo ya Jina lako

Je Unajua Siri ya herufi ya mwanzo ya jina lako?. Soma hapa utaweza kuelewa Tabia zako au tabia za rafiki au mpenzi wako.

>HERUFI A
>Mwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira. Herufi A inawakilisha Nyota ya Punda.
>HERUFI B
>Mwenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika vita au pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake. Herufi B inawakilisha Nyota ya Ngombe,
>HERUFI C
>Mwenye jina linaloanziana na herufi C ni mtu wa kukubadilika badilika, mshindani na hupenda kupigania malengo yao wanayopenda. Ni watu wa wabunifu na wanaopenda mawasiliano Herufi C inawakilisha Nyota ya Mapacha,
>HERUFI D
>Mwenye jina linaloanziana na herufi D ni mtu anayependa usawa, Biashara. Ni watu wanaopenda kuamrisha na mwenye kupenda usafi. Ni jeuri na wenye msimamo. Herufi C inawakilisha Nyota ya Kaa,
>HERUFI E
>Mwenye jina linaloanzia na herufi E ni mtu mwenye roho nzuri ,yenye mapenzi na huruma. mwenye kupenda uhuru katika mapenzi na mchangamfu. Kinyume na hivyo atakuwa ni mtu asiotegemewa na kigeugeu. Herufi E inawakilisha Nyota ya Simba,
>
>HERUFI F
>Mwenye jina linaloanzia na herufi F ni mtu mwenye mapenzi,huruma , roho nzuri na ana uwezo wa kuwafariji watu. Ni mtetezi wa watu na mwenye huzuni lakini ni mzito wa kufanya maamuzi. Herufi F inawakilisha Nyota ya Mashuke,
>HERUFI G
>Mwenye jina linaloanzia na herufi G ni mtu mwenye mwenye imani ya kidini na nguvu za kiroho. Ana kipaji cha kubuni na uwezo wa kutatua matatizo ya watu. ni mtu mwenye hisia kali,msomi, mpweke na mkaidi wa kukubali ushauri wa kutoka kwa watu. Herufi G inawakilisha Nyota ya Mizani,
>HERUFI H
>Mwenye jina linaloanzia na herufi H ni mtu mwenye ubunifu na nguvu katika biashara, hupata faida kubwa kutokana na jitihada na bidii zake. ni mwenye mawazo mengi, mchoyo na mbinafsi. Herufi H inawakilisha Nyota ya Nge,
>HERUFI I
>Mwenye jina linaloanzia na herufi I ni mtu mwenye kupenda sheria, ana huruma na utu. Wakati mwingi hajiamini na ni mwenye hasira za haraka. Herufi I inawakilisha Nyota ya Mshale,
>HERUFI J
>Mwenye jina linaloanzia na herufi J ni mtu mwenye matamanio,mkweli, mkarimu na muerevu. asiyekubali kushindwa na hupata mafanikio makubwa. Wakati mwingine anakuwa ni mtu mvivu na aliyekosa mwelekeo. Herufi J inawakilisha Nyota ya Mbuzi,
>HERUFI K
>Mwenye jina linaloanzia na herufi K ni mtu mwenye jeuri. mwenye msimamo thabiti,mashuhuri na mwenye uwezo wa kushawishi na kuamsha hisia za watu wana uwezo wa utambuzi ambao watu wengi hawana. ni mtu asioridhika na hali ya kimaisha. Herufi K inawakilisha Nyota ya Ndoo,
>HERUFI L
>Mwenye jina linaloanzia na herufi L ni mtu wa vitendo, mwenye hisani na aliyejipanga vizuri kimaisha. Huwa wanapata ajali mara kwa mara. Herufi L inawakilisha Nyota ya Samaki,
>HERUFI M
>Mwenye jina linaloanzia na herufi M ni mtu mwenye kujiamini sana, mchapakazi na hupata mafanikio. ni mtu mropokaji,mwenye haraka na mwepesi kukasirika. Herufi M inawakilisha Nyota ya Punda
>HERUFI N
>Mwenye jina linaloanzia na herufi N ni mtu mwenye ubunifu, hisia kali na hupenda kuwasiliana lakini ana wivu sana. Herufi N inawakilisha Nyota ya Ngombe
>
>HERUFI O
>Mwenye jina linaloanzia na herufi O ni mtu mwenye subra, mvumilivu na mwenye bidii ya kusoma. Ni mtu mwenye kupenda kutumikia jamii na mwenye uwezo mkubwa wa kudhibiti hisia. Herufi O inawakilisha Nyota ya Mapacha
>HERUFI P
>Mwenye jina linaloanzia na herufi P ni mtu mwenye uwezo wa kuamrisha na hekima kubwa. Ana nguvu za kiroho lakini anapenda sana kujitumbukiza kwenye mambo ya watu. Herufi P inawakilisha Nyota ya Kaa
>HERUFI Q
>Mwenye jina linaloanzia na herufi Q ni mtu mwenye kupenda mambo ya asili. Ni watu wasiyoelezeka nawana uwezo wa kuonyesha vitu visivyojulikana hata hivyo ni mtu aliyepooza sana. Herufi Q inawakilisha Nyota ya Simba
>HERUFI R
>Mwenye jina linaloanzia na herufi R ni mtu mwenye uvumilivu, wenye huruma lakini ana hasira za haraka. Muda wote anakuwa mpenda amani. Herufi R inawakilisha Nyota ya Mashuke
>HERUFI S
>Mwenye jina linaloanzia na herufi S ni mtu mwenye mvuto mkali wa kuleta utajiri. Ni watu wenye maamuzi ya ghafla na hupenda mageuzi makubwa. Herufi S inawakilisha Nyota ya Mizani
>HERUFI T
>Mwenye jina linaloanzia na herufi T ni mtu mwenye kupenda ushauri wa kiroho, anatumia nguvu za ziada kusaidia watu na hupata mafanikio baada ya muda mrefu. Ni watu wenye hisia kali sana na ni wepesi kushawishika. Herufi S inawakilisha Nyota ya Nge
>HERUFI U
>Mwenye jina linaloanzia na herufi U ni mtu mwenye bahati kubwa kwa ujumla. Anapenda uhuru katika mapenzi. Lakini ni mtu mbinafsi, mwenye tamaa na aliyekosa maamuzi. Herufi U inawakilisha Nyota ya Mshale.
>HERUFI V
>Mwenye jina linaloanzia na herufi V ni mtu Mchapakazi, wenye bidii na asie choka. Hata hivyo ni watu wasiotabirika. Herufi U inawakilisha Nyota ya Mbuzi.
>HERUFI W
>Mwenye jina linaloanzia na herufi W ni mtu muwazi, wachangamfuu kupita kiasi na mwenye uwezo wa kutambua mtu mwema na mbaya. Ni watu wenye tamaa na hufanya mambo ya hatari. Herufi W inawakilisha Nyota ya Ndoo.
>HERUFI X
>Mwenye jina linaloanzia na herufi X ni mtu asiyependa kuwekewa vizuizi katika kwenye anasa na ni rahisi kujiingiza kwenye uzinzi na kujitoa uaminifu. Herufi X inawakilisha Nyota ya Samaki.
>HERUFI Y (YASINTA)
>Mwenye jina linaloanzia na herufi Y ni mtu mwenye kupenda Uhuru na hawapendi kupingwa jambo lao lolote. Ni watu wanaokosa uamuzi na husababishia kupoteza bahati katika maisha. Herufi Y inawakilisha Nyota ya Punda
>HERUFI Z
>Mwenye jina linaloanzia na herufi Z ni mtu mwenye kupenda matumaini na amani. Ni wenye msimamo mkali ila wanashauriwa kufikiria kabla ya kuamua jambo. Herufi Z inawakilisha Nyota ya Ngombe.


Je Unajua Siri ya herufi ya mwanzo ya jina lako?. Soma hapa utaweza kuelewa Tabia zako au tabia za rafiki au mpenzi wako.
>HERUFI A
>Mwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira. Herufi A inawakilisha Nyota ya Punda.
>HERUFI B
>Mwenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika vita au pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake. Herufi B inawakilisha Nyota ya Ngombe,
>HERUFI C
>Mwenye jina linaloanziana na herufi C ni mtu wa kukubadilika badilika, mshindani na hupenda kupigania malengo yao wanayopenda. Ni watu wa wabunifu na wanaopenda mawasiliano Herufi C inawakilisha Nyota ya Mapacha,
>HERUFI D
>Mwenye jina linaloanziana na herufi D ni mtu anayependa usawa, Biashara. Ni watu wanaopenda kuamrisha na mwenye kupenda usafi. Ni jeuri na wenye msimamo. Herufi C inawakilisha Nyota ya Kaa,
>HERUFI E
>Mwenye jina linaloanzia na herufi E ni mtu mwenye roho nzuri ,yenye mapenzi na huruma. mwenye kupenda uhuru katika mapenzi na mchangamfu. Kinyume na hivyo atakuwa ni mtu asiotegemewa na kigeugeu. Herufi E inawakilisha Nyota ya Simba,
>
>HERUFI F
>Mwenye jina linaloanzia na herufi F ni mtu mwenye mapenzi,huruma , roho nzuri na ana uwezo wa kuwafariji watu. Ni mtetezi wa watu na mwenye huzuni lakini ni mzito wa kufanya maamuzi. Herufi F inawakilisha Nyota ya Mashuke,
>HERUFI G
>Mwenye jina linaloanzia na herufi G ni mtu mwenye mwenye imani ya kidini na nguvu za kiroho. Ana kipaji cha kubuni na uwezo wa kutatua matatizo ya watu. ni mtu mwenye hisia kali,msomi, mpweke na mkaidi wa kukubali ushauri wa kutoka kwa watu. Herufi G inawakilisha Nyota ya Mizani,
>HERUFI H
>Mwenye jina linaloanzia na herufi H ni mtu mwenye ubunifu na nguvu katika biashara, hupata faida kubwa kutokana na jitihada na bidii zake. ni mwenye mawazo mengi, mchoyo na mbinafsi. Herufi H inawakilisha Nyota ya Nge,
>HERUFI I
>Mwenye jina linaloanzia na herufi I ni mtu mwenye kupenda sheria, ana huruma na utu. Wakati mwingi hajiamini na ni mwenye hasira za haraka. Herufi I inawakilisha Nyota ya Mshale,
>HERUFI J
>Mwenye jina linaloanzia na herufi J ni mtu mwenye matamanio,mkweli, mkarimu na muerevu. asiyekubali kushindwa na hupata mafanikio makubwa. Wakati mwingine anakuwa ni mtu mvivu na aliyekosa mwelekeo. Herufi J inawakilisha Nyota ya Mbuzi,
>HERUFI K
>Mwenye jina linaloanzia na herufi K ni mtu mwenye jeuri. mwenye msimamo thabiti,mashuhuri na mwenye uwezo wa kushawishi na kuamsha hisia za watu wana uwezo wa utambuzi ambao watu wengi hawana. ni mtu asioridhika na hali ya kimaisha. Herufi K inawakilisha Nyota ya Ndoo,
>HERUFI L
>Mwenye jina linaloanzia na herufi L ni mtu wa vitendo, mwenye hisani na aliyejipanga vizuri kimaisha. Huwa wanapata ajali mara kwa mara. Herufi L inawakilisha Nyota ya Samaki,
>HERUFI M
>Mwenye jina linaloanzia na herufi M ni mtu mwenye kujiamini sana, mchapakazi na hupata mafanikio. ni mtu mropokaji,mwenye haraka na mwepesi kukasirika. Herufi M inawakilisha Nyota ya Punda
>HERUFI N
>Mwenye jina linaloanzia na herufi N ni mtu mwenye ubunifu, hisia kali na hupenda kuwasiliana lakini ana wivu sana. Herufi N inawakilisha Nyota ya Ngombe
>
>HERUFI O
>Mwenye jina linaloanzia na herufi O ni mtu mwenye subra, mvumilivu na mwenye bidii ya kusoma. Ni mtu mwenye kupenda kutumikia jamii na mwenye uwezo mkubwa wa kudhibiti hisia. Herufi O inawakilisha Nyota ya Mapacha
>HERUFI P
>Mwenye jina linaloanzia na herufi P ni mtu mwenye uwezo wa kuamrisha na hekima kubwa. Ana nguvu za kiroho lakini anapenda sana kujitumbukiza kwenye mambo ya watu. Herufi P inawakilisha Nyota ya Kaa
>HERUFI Q
>Mwenye jina linaloanzia na herufi Q ni mtu mwenye kupenda mambo ya asili. Ni watu wasiyoelezeka nawana uwezo wa kuonyesha vitu visivyojulikana hata hivyo ni mtu aliyepooza sana. Herufi Q inawakilisha Nyota ya Simba
>HERUFI R
>Mwenye jina linaloanzia na herufi R ni mtu mwenye uvumilivu, wenye huruma lakini ana hasira za haraka. Muda wote anakuwa mpenda amani. Herufi R inawakilisha Nyota ya Mashuke
>HERUFI S
>Mwenye jina linaloanzia na herufi S ni mtu mwenye mvuto mkali wa kuleta utajiri. Ni watu wenye maamuzi ya ghafla na hupenda mageuzi makubwa. Herufi S inawakilisha Nyota ya Mizani
>HERUFI T
>Mwenye jina linaloanzia na herufi T ni mtu mwenye kupenda ushauri wa kiroho, anatumia nguvu za ziada kusaidia watu na hupata mafanikio baada ya muda mrefu. Ni watu wenye hisia kali sana na ni wepesi kushawishika. Herufi S inawakilisha Nyota ya Nge
>HERUFI U
>Mwenye jina linaloanzia na herufi U ni mtu mwenye bahati kubwa kwa ujumla. Anapenda uhuru katika mapenzi. Lakini ni mtu mbinafsi, mwenye tamaa na aliyekosa maamuzi. Herufi U inawakilisha Nyota ya Mshale.
>HERUFI V
>Mwenye jina linaloanzia na herufi V ni mtu Mchapakazi, wenye bidii na asie choka. Hata hivyo ni watu wasiotabirika. Herufi U inawakilisha Nyota ya Mbuzi.
>HERUFI W
>Mwenye jina linaloanzia na herufi W ni mtu muwazi, wachangamfuu kupita kiasi na mwenye uwezo wa kutambua mtu mwema na mbaya. Ni watu wenye tamaa na hufanya mambo ya hatari. Herufi W inawakilisha Nyota ya Ndoo.
>HERUFI X
>Mwenye jina linaloanzia na herufi X ni mtu asiyependa kuwekewa vizuizi katika kwenye anasa na ni rahisi kujiingiza kwenye uzinzi na kujitoa uaminifu. Herufi X inawakilisha Nyota ya Samaki.
>HERUFI Y (YASINTA)
>Mwenye jina linaloanzia na herufi Y ni mtu mwenye kupenda Uhuru na hawapendi kupingwa jambo lao lolote. Ni watu wanaokosa uamuzi na husababishia kupoteza bahati katika maisha. Herufi Y inawakilisha Nyota ya Punda

>HERUFI Z
>Mwenye jina linaloanzia na herufi Z ni mtu mwenye kupenda matumaini na amani. Ni wenye msimamo mkali ila wanashauriwa kufikiria kabla ya kuamua jambo. Herufi Z inawakilisha Nyota ya Ngombe.


Habari hii nimeipata Jamii Forum ......

55 comments:

EDNA said...

Herufi E ni ukweli mtupu kuhusu mimi hahaaaa.

MARKUS MPANGALA said...

herufi M? nina nyota ya Ng'ombe. inakuwaje hapo? sijawa mropokaji, inakuwaje? KUHUSU MIMI, duh1 sijui yaweza kuwa siyo kila ndiyo ina ndiyo kiundani maana kuna ndiyo zingine huambatana na utani. kuona ni kuamini jamani. mie simoooo

Mija Shija Sayi said...

Mpangala kama ulikuwepo mawazoni mwangu na mimi nyota yangu ng'ombe na hizo tabia si zangu kabisa..

Hawa watabiri huwa ni wajanja sana.

Baraka Chibiriti said...

Nimeipenda sana hii, BBBBBBBB daima! Baraka

Unknown said...

Herufi zangu ni F & N
Kweli mimi ni Mtetezi, Mbunifu & Mwenye Mapenzi..!

Blackmannen said...

Ijapokuwa mimi siamini vitu kama hivi, lakini herufi "B" is him, I mean "Black=Blackmannen". Mtu yeyote akiisema vibaya "My Motherland, Tanzania", heri ajichimbie shimo afe kabla sijamweka mikononi...!!!

This Is Black=Blackmannen

emuthree said...

Unanikumbusha mbali yupo rafiki yangu alikwenda kwa mganga wa kienyeji kupiga ramli, alipofika hapo yule mganga akafanya mambo yake,

Kwa mwoga ukimona alivyokuwa akifanya utaogopa, akaanza kuonge,na kusema mchawi wako ni mrefu mfupi hivi, mnene mwembamba hivi,....

Unaona yeye anachofanya ni kuiteka nafsi yako, maana una pupa na umeogopeshwa, utabakia kujibu `taire' na akili yako itachukkua kile ulichokuwa nacho kuwa mchawi wako ni mrefu au ni mfupi,....yule yule uliyekuwa ukimzania au humpendi ndiye utamnyoshea kidole...

Sasa hizi nyota ziangalie kwa makini...ni yale yale, kama unaamini sio mbaya, kama huamini kalabagwe...

Diana james said...

Duh herufi D ni mimi kabisa kasoro biashara 2 ipo kushoto xana

Pius said...

Mimi ni P, ila pia nimeangalia herufi za watu wangu kama, A, L, R, M na P. ni sahihi kabisa, ila ntafatilia nyota gan coz nyota yng ya kuzaliwa nyingne, nyota ya heruf pia nyngne.

Anonymous said...

J ni yangu, dah, tabia zangu hujakosea hata moja, some time naweza amka na nisijisikie kufanya kazi hadi jioni

Anonymous said...

Duu mimi ni "m" yaani nyota ya Punda na kwakweli nateseka sana hapa tandale sokoni kwa kubeba mizigo ya watu , kushusha kwenye malori nk. Je nikibadili jina kwa kubatizwa nitajikwamua? Balaaa,!

Mourphy said...

Nimefika I pendant hiyo

Mwampepe said...

ya ukweli hsyo au mnazingua

Anonymous said...

b yangu, achen utan. waongo,mbona yote ni ya kwel?

Bright said...

mi naxhndwa xema ka naamin, ila yaliyoelezwa ni kweli. B ni yangu Bright na mpenz wangu Bertha, xifa zote tunazo wote na nilkuwa na mpenz wang wa zaman mwenye heruf C anaitwa Clara, ila tuliacha kutokana na xifa zake kama zilivyotajwa kutofautiana. jaman, sa jaman kama herufi haziendan ndo mapenz yanajaa misukosuko?

Unknown said...

Aaahh ukweli mtupu kuhusu A I trust on it.

Unknown said...

Wow jaman n kwel kabsa mmjna langu n erica en caren

Unknown said...

Sina uakika
Jamani

Unknown said...

Kwamimi nimewini badokinunua garitu

Cytotec said...

good luck

Obat Telat Bulan said...

nice more info

Unknown said...

Khaaaa hii kalinyeee...

Unknown said...

Nmeipenda B Na imeendana Na nyota yangu maana nyota yangu ni ng'ombe kweli

Unknown said...

Nmeipenda B Na imeendana Na nyota yangu maana nyota yangu ni ng'ombe kweli

Unknown said...

Jamani B sina ubishi nayo BONIFAS

Unknown said...

Jamani B sina ubishi nayo BONIFAS

Unknown said...

Yasinta & Yusuf

Obat cytotec said...

thank blog

cytotec said...

This is very nice one and gives indepth information. Thanks for this nice article.

Paulo M Gittu said...

dah,,,,,sometime pana ukweli hapo!!

Unknown said...

Yaaa kina Yusuph mmmh

Kilimobiashara said...

Yeah,hata mm pia, ni mtetezi ,mwenye mapenzi ya dhati nimekubal herufi F, ni balaa

Unknown said...

Mm Ni kweli nafanana Na herufi yangu R

Unknown said...

Live man ata
Me jay pia ivyoivy

jaffo beroi said...

Herufi sisi wakina ally hasa mimi hivi tabia ninazo niukweli mtupu sipingani na nyota yangu

Unknown said...

Ivi niulize mbona sehemu nyingne katika machapisho ya jina na nyota hua sielewi kwa sababu yaatofautiana ukipita huku wewe mizani ukipita huku wewe mashuke hapo ukweli upo ila umefungwa na kuujua ukweli hapo ni ngumu

Unknown said...

Hapo kweny S mmmh! Sijui kwakwel.

Unknown said...

Herufi Mimi najiona kabisa pamoja na herufi l nimeona safi

Unknown said...

Amini atame ni ivyo ivyo Jay ap

Unknown said...

Amini kwamb herufi j iko sahihi kabisa kwang

Unknown said...

Mnaposkia utabir aimaanish kwamb ndo wapo sauw moj kwa moj kun vit vngn vinakuw sahih lkn vingn vinakosew kwaiy tuwe makin watoa comment co tunalaum tyu
Man hat utabir wa hal ya hewa unawez ukaambiw kuw itanyesh mvua cku3 mfululizo na matokeo yake isinyesh ko ndo ipo ivo, na hat utabir wa nyot upo ivo ivo

Unknown said...

Au bdo cjasikika niongez volume

Unknown said...

Kweli kabsaaa

Unknown said...

Positive brother

Unknown said...

Je herufi z ina nyota gan katika mafanikio na tabia kiujumla??

Unknown said...

Hata mm sielewi mm huyohuyo unakuta nyota ya mzani,ukifungua kule tarehe unakuta ninanyota ya mbuzi,mara Tena unakuta ninanyota ya pacha 🙄🙄🙄🙄🙄🙄

Anonymous said...

B jamani iko sawa kabisa. Bahati

Anonymous said...

Helufi "k" ni ukwel kbc yaani naweza kujua kitu ambacho hakitazamiki machoni

Anonymous said...

Soma hapo juu

Anonymous said...

HERUFI Z
>Mwenye jina linaloanzia na herufi Z ni mtu mwenye kupenda matumaini na amani. Ni wenye msimamo mkali ila wanashauriwa kufikiria kabla ya kuamua jambo. Herufi Z inawakilisha Nyota ya Ngombe.

Anonymous said...

Heruf H na F nyota zao aziwez fanana ?

Anonymous said...

Mim vingine xawa lakin mafanikiyo siyawoni hata

Anonymous said...

Hapa kunakamchezo kakubahatsha hdunia kubwa sana kunakamchezo kakubahatisha

Anonymous said...

𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝗹𝗮𝗻𝗴𝘂 𝗻𝗶𝗸𝘄𝗮𝗺𝗯𝗮 𝘂𝗸𝗶𝗽𝗲𝘄𝗮 𝗷𝗶𝗻𝗮 𝘁𝗼𝗳𝗮𝘂𝘁𝗶 𝗻𝗮 𝘁𝗮𝗿𝗲𝗵𝗲 𝘂𝗹𝗶𝘆𝗼 𝘇𝗮𝗹𝗶𝘄𝗮 𝗺𝗳𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗲𝘄𝗲 𝗷𝗶𝗻𝗮 𝗹𝗮𝗸𝗼 𝗹𝗶𝗻𝗮 𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗟 𝗮𝗳𝘂 𝘂𝗺𝗲𝘇𝗮𝗹𝗶𝘄𝗮 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 23 𝗺𝘄𝗲𝘇𝗶 7 𝗵𝗮𝗱𝗶 8 𝗺𝘄𝗲𝘇𝗶, 𝗜𝗻𝗮𝗸𝘂𝗮𝗷𝗲 𝗻𝗶𝗽𝗲 𝘂𝗳𝗮𝗳𝗮𝗻𝘂𝘇𝗶 𝗺𝗸𝘂𝘂

Anonymous said...

Safi