Monday, October 3, 2016

KILIMO CHA PILIPILI NA VINGINEVYO KWA KUTUMIA MAKOPO


 Hapa ni pilipili mbuzi 
 na hizi zinafanana ila ni kubwa kidogo 
 Hapa ni pilipili hoho tayari kwa kula sasa:-)
 Hizi pilipili zinafanana na pilipili hoho..yaani hazina makali sana kama kichaa na mbuzi
 Na hapa ni nyanya maana huwezi kula pilipili tu  hasa kwa kachumbali nk
Na mwisho zileee zabibu zetu nazo zimeiva na sasa ni raha tu...kwa hiyo ndugu zanguni karibuni tule pamoja ...si mnajua ule msemo usemao kulima mmoja ila kula wengi.... JUMATATU NJEMA!

No comments: