Tuesday, February 16, 2016

MCHANA WA LEO NIMETAMANI NA KUKUMBUKA MLO HUU WA UGALI WA MHOGO NA MLENDA

Baada ya kukumbuka Lundo kwangu nimejikuta ninatamani na ugali huu wa muhogo na mlenda  mweeh yaani utamu wake  hauna maelezo kwa mtu asiye wahi kula.  Hakika vyakula vya asili vina utamu  Wake. Na hasa ukizingatia UGALI WA MUHOGO.... Kwa hiyo basi tulage kwa macho:-(

2 comments:

ray njau said...

Mhh;asante sana kwa mlo asilia.
Hakika jasiri haachi asili yake na muacha asili yake............

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Ray! karibu sana si unajua mlo wa asili ulivyo mtamu...kuacha asili yako/yangu ni sawa na utumwa..nami sikubali kuwa mtumwa!