Sunday, August 10, 2014

MSIONE KIMYA NIPO...NIPO KAMA NILIVYOSEMA LIKIZO AMBAO MUDA MZURI KUWA NA FAMILIA....NIPO!

Kwanza nisema habari za siku mbili -tatu au niseme za wiki nzima bila kuwa nanyi.. nilikuwa nikisafisha macho na kujifunza kidogo historia. Ila sasa nimerudi na nipo nanyi....naweka picha kidogo kuonyesha wapi nilikuwa. Nimewamiss ndugu zanguni.

 Hapa ni mitaani ndani ya Nchi ya Estonia. Kwa kweli nimesafisha macho sana na pia kupumzisha akili.
Haikuwa muda mrefu nilikuwa kule na hapa sasa narudi tena ila duh!....na sasa Likizo imekwisha wiki ijayo ni mtindo mmoja kubeba maboxi:-) JUMAPILI/DOMINIKA NJEMA  KWA WOTE...!!!

9 comments:

Rachel Siwa said...

Duh..nilikumiss sana dada Kadala wangu...Karibu tena..Natumai ulikuwa na wakati mzuri,mapumziko na Familia...
Mpaka mashavu yamenona..Mwehhh kupumzika ni Afya!!!!!!

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante kunimiss!...Kachiki ww yaani nimecheka hadi chozi eti mashavu yamenona...kaaaazi kwelikweli...

Interestedtips said...

Hongera sana dada kwa mapumziko, kwani kupumzika ni vema sana kwa maisha yetu.....karibu tena ushee nasi uliyojifunza mapumzikoni

Yasinta Ngonyani said...

Mama A! Ulichokisema ni kweli kabisa...ahsante. kuhusu kugawana elimu usihofu itakuja.

CHE JIAH said...

HONGERADADA SAFARI YA NYUMBANI LINI KUMBUKANYUMBANI NI NYUMBANI

KUWA NA SIKU NJEMA UMEPENDEZAAAAA ANGALIA SHEMEJI ASIIBIWE

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Yangu Che Jiah! wala usikonde siwezi kusahau nyumbani hata siku moja si unajua msahau kwao ni mtumwa.. Na ahsante...kuibiwa si rahisi:-)

Mija Shija Sayi said...

Kumbe upo huko! Uwe na likizo njema..

Yasinta Ngonyani said...

Dada mkuu msaidizi...nilikuwa huko sasa nipo hapa na likizo imeisha jumatano kazi kama kawa tena....

emu-three said...

Hongera, nimekimic kijiwe hiki so muuch, unajua fb, unatulemaza sana, lkn ndio hivyo tupo pamoja mpendwa