Friday, November 23, 2012

TUPO PAMOJA NA NAPENDA KUWATAKIENI MWANZO MWEMA WA MWISHO WA WIKI!!!

Nawatakieni wote mtaopita hapa mwisho mwema wa wiki na kumbukeni wote mnapendwa: ngoja tu tumalizie na masai raggae :-)

IJUMAA NJEMA!!!

5 comments:

Rachel Siwa said...

Nawe pia dada Mkuu na familia yako!!!

ray njau said...

@Yasii!!
Hakika baada ya dhiki ni faraja!!

Steven Bulamu said...

CHA MSINGI JAMANI SOTE TUSALI TUMUOMBE MUNGU ATUSAIDIE KATIKA MAPITO HAYA MAKE MAISHA YAMEKUWA KITEGEMEO MKUTI MAKE PEOPLE WA SIKU HIZI WAMEKUWA KAMA ANIMAL'S MAKE AWANA HURUMA ATA KIDOGO

Steven Bulamu said...

DAA? VIJANA TUNA CHANGAMOTO KUWA SANA KTK MAFANIKIO YA MAISHA MAKE TUNA MTIANI MKUBWA, HILA TUSIKATE TAMAA TUFUNGE BUTU TUPANDE KILIMANI NDIKO KWENYE MAFANIKIO YA MAISHA TUSILUDI NYUMA....,, Nawapenda nyote vijana wezangu madada na makaka------------------------

Unknown said...

nawe pia