Thursday, March 2, 2017

VAZI LA LEO LA KAPULYA WENU AKA MMILIKI WA MAISHA NA MAFANIKIO...

Hili vazi nimelipenda sana nimelinunua leo leo...hapo ni pozi tu  hapo nadhani mtafikiri najaribu kuruka lakini hapana ni kutaka tu kuonyesha hizo picha za kwenye vazi....
 Na hapa mdada kajikunyata .....baridi  hiyo sio mchezo

 Hapa anawaza kiasi kwamba anajikuna kichwa
Hapa napo inaonekana kama vile  yupo katika dimbwi la mawazo ... ila hapa ni pozi tu...:-)

No comments: