Friday, March 24, 2017

HAYA MWISHO WA JUMA NDIO UNAKARIBIA SASA...NA HIZI ZIWE PICHA ZA WIKI HII........

Huyo dada kafunga mstari makande kwa bia...duh! kaaazi kwelikweli. Haya ndugu zanguni muwe na mwisho mwema wa juma kama  ni kwa mtindo huu kama huyo dada au tu
 kwa mtindo huu  na pengine labda....
...kwa mtindo huu .
na labda pia kwa mtindo wa kuwa na familia mkiwa mmetulia nyumbani  baada ya kazi ya wiki nzima. Kwa mtindo wa kuwa pamoja na kusimuliana hadithi mbalimbali na vipi wiki kwa ujula imekuwaje? HAYA KAPULYA WENU ANAWATAKIENI MWISHO MWEMA WA WIKI. TUPO PAMOJA DAIMA. 

2 comments:

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Hiyo gesi na ulevi. Huyu anatafuta kuvimbiwa na kulewa kiasi cha kushindwa kumudu kila kitu. Imagine. Akivimbiwa na kulewa chali huko aendako kutakuwaje? Mambo mengine si ya kujaribu.

Yasinta Ngonyani said...

Kaka ww acha tu...maana vikichanganyika humo tumboni ni kasheshe juu ya kasheshe...