Wednesday, March 15, 2017

MCHEZO WA BAO ENZI HIZO AMBAO LILITUMIKA NA MACHIFU

Hii ni bao ambalo lilitumika na MACHIFU kushindana, kwa mfano wao walikuwa hawapigi kura wakati wanachagua kiongozi wa eneo lao. Ila machifu hao walitumia bao kushindania  madaraka na aliyemfunga mwenzake kete nyingi ndiye aliyetawazwa kuwa CHIFU wa eneo fulani.

No comments: