Thursday, March 16, 2017

MAKAMU WA RAIS JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AMEWASILI MJINI MBABENE-SWAZILAND

KITAMADUNI HASWAAA
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amewasili mjini Mbabene-Swaziland kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika-SADC. Katika mkutano huu Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan anamuwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dakta John Magufuli Katika mkutano huo.
CHANZO: Na Emanuel Amas wa Tasnia ya Habari.

No comments: