Tuesday, January 19, 2016

"MJADALA ULIOVUNJA REKODI KATIKA BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO MWAKA 2015"

Ndugu wasomaji wa blog hii ya MAISHA NA MAFANIKIO, katika kupitia mada mbalimbali nilizowahi kuweka humu ili kupata ile ambayo ilivuta hisia za wasomaji wengi na kuleta changamoto, nimevutiwa na mada hii ambayo ilileta vuta nikuvute miongoni mwa wadau wa blog hii.
Kwa hiyo basi nimeichagua mada hii kuwa ndio mada iliyovunja rekodi kwa mwaka 2015.
Natoa shukrani kwa wadau wote mlioshiriki katika kuichangia mada hii.
Naomba muungane nami katika kujikumbusha kile kilichotokea katika mjadala huu.


NAPENDA KUWATAKIENI WOTE MWISHO WA JUMA UWE MWEMA..
Hili ni vazi langu la leo au mwenekano wangu wa leo na napenda kuwatakia wote JUMAMOSI NJEMA AU MWISHO WA JUMA MWEMA. KAPULYA.
Manka said...
Dada yangu habari za siku nyingi?umependeza sana na vazi lako.Bustani yako inaendeleaje?
Anonymous said...
Fantastiki! By Salumu.

Yasinta Ngonyani said...
Kaka Mhango....ahsante sana.
Manka ndugu wa mimi ni kweli siku nyingi ni njema....ahsante. Bustani mwaka huu si nzuri sana hali ya hewa inazingua.
Kaka ahsante.

Nicky Mwangoka said...
Umependeza sana Dada kama weekend yenyewe ilivyokuwa nzuri
Penina Simon said...
Thanks , umetokelezea bomba

Yasinta Ngonyani said...
Kaka Nicky, Dada P! Ahsanteni sana kwa kutochoka kupita hapa na kuacha yenu ya moyoni.

ray njau said...
Hapa ni kisima kama siyo kufua na maji ya kunywa je?

Yasinta Ngonyani said...
Kaka Ray Ahsante!

Ester Ulaya said...
dada yangu mwenyewe umenogaaa

Yasinta Ngonyani said...
Mama Alvin! Ahsante sana









2 comments:

Anonymous said...

Ubarikiwe da Yasinta! By Salumu.

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Salumu kwanza nikushukuru kwa kutochoka kupita hapa Maisha na Mafanikio kila upatapo wasaa na kuacha lako lililo moyoni AHSANTE SANA