Saturday, July 11, 2015

NAPENDA KUWATAKIENI WOTE MWISHO WA JUMA UWE MWEMA..

Hili ni vazi langu la leo au mwenekano wangu wa leo na napenda kuwatakia wote JUMAMOSI NJEMA AU MWISHO WA JUMA MWEMA. KAPULYA.

11 comments:

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Dada umetokezea si haba. Endelea kupiga pamba na kujipamba Kapulya mwana kwetu.

Manka said...

Dada yangu habari za siku nyingi?umependeza sana na vazi lako.Bustani yako inaendeleaje?

Anonymous said...

Fantastiki! By Salumu.

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Mhango....ahsante sana.
Manka ndugu wa mimi ni kweli siku nyingi ni njema....ahsante. Bustani mwaka huu si nzuri sana hali ya hewa inazingua.
Kaka ahsante.

Nicky Mwangoka said...

Umependeza sana Dada kama weekend yenyewe ilivyokuwa nzuri

Penina Simon said...

Thanks , umetokelezea bomba

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Nicky, Dada P! Ahsanteni sana kwa kutochoka kupita hapa na kuacha yenu ya moyoni.

ray njau said...

Hapa ni kisima kama siyo kufua na maji ya kunywa je?

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Ray Ahsante!

Interestedtips said...

dada yangu mwenyewe umenogaaa

Yasinta Ngonyani said...

Mama Alvin! Ahsante sana