Wednesday, September 16, 2015

BADO SIKU CHACHE SANA 25/10 NAMI NIMEONA NIIOMBEE NCHI YANGU TANZANIA MAANA INAWEZEKANA TUKAWA NA MAISHA MENGINE BAADA YA SIKU HIYO TUWE MAKINI!!!


MUNGU IBARIKI SANA TANZANIA NA WATU WAKE SIKU HII YA TAREHE 25/10 IWE YANYE AMANI PIA UPENDO.

2 comments:

Anonymous said...

Kwa kweli ni kuiombea Tanzania mpaka uchaguzi uishe tumpate rais mwingine tukiwa na amani yetu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa. Tukumbukeni sana kwenye maombi mliopo nje ya nchi ili amani izidi kutawala.

Yasinta Ngonyani said...

Usiye na jina ndugu yangu...Kila kitu kitakuwa safi tu kuwa na imani.