Monday, September 21, 2015

NIMEONA KUWA NA KIPENGELE KIPYA NACHO NI UTAMADUNI WA MTANZANIA/AFRIKA NA NIMEONA IWE JUMATATU NA KWA KUANZA NIMEONA TUANZA NA KUSIKILIZA NGOMA HII YA KUNYAKYUSA....KUTOKA MBEYA


Kama tunavyotambua Tanzania ni nchi yenye makabila mengi ni 121 kama sijakosea. Kwa hiyo kila kabila lina utamaduni na mila zake kuanzia kwenye chakula  hadi ngoma. Kwa hiyo leo nimeona tuwatembelee ndugu zetu Wanyakyusa na ngoma hii ya kuvutia.
TUONANE TENA JUMATATU IJAYO NA KABILA JINGINE!

No comments: