Sunday, November 24, 2013

HIVI NDIYO ULIVYOKUWA MLO WA ASUBUHI YA JUMAPILI YA LEO /CHAPATI KWA CHAI!!

 Chapati zinasukumwa huku chai ikiandaliwa
 chapati zinakaangwa
 chapati tayari kwa kuliwa
Na hivi ndivyo meza ilivyoandaliwa Jumapili hii ya leo. Chapati bado zipo na chai pia karibuni kujumuika nasi. NAWATAKIENI WOTE MTAKAOPITA HAPA JUMAPILI YENYE BARAKA NA UPENDO. MWENYEZI MUNGU NA AWE NANYI. AMINA......KAPULYA/KADALA.

6 comments:

Anonymous said...

Hongera kwa mapishi mazuri ya chapatti. Sijui nitaziwahi? Jumapili njema.

emu-three said...

Mmmm hongera ndugu wangu, tupo pamoja

Yasinta Ngonyani said...

Usiye na jina...ahsante. wala usiwe na shaka utazikuta ni nyingi

Yasinta Ngonyani said...

Emu-three ...ahsante . Pamoja daima.

Rachel Siwa said...

Asante kwa yote..Nanyi muwe na wakati mwema..
chapati zangu mniwekee pembeni.

Yasinta Ngonyani said...

Kachiki wa mimi...karibu, naamini nawe umekuwa na wakati mwema pia. Usikonde zimetengwa kwa ajili yako.