Wednesday, April 27, 2011

HONGERA KWA SIKU YA KUZALIWA KWAKO DA´MIJA MWANAMKE WA SHOKA!!!


Napenda kukutakia siku yako ya kuzaliwa kheri na baraka tele. Mwenyezi Mungu na akulinde uwe salama pia uwe na afya njema siku zote. Na pia uwe bibi kizee ili uweze kucheza na wajukuu wako pia vijukuu. HONGERA SANA KWA SIKU YAKO HII TUKUFU KWA KUONGEZA LIMWAKA:-) UWE NA SIKU NZURI NA WALA USITHUBUTU KUTUNYIMA HIYO KEKI!!!
Zaidi unaweza kumwona mwanamke huyu wa shoka kwa kubonyeza Da´Mija.

9 comments:

o'Wambura Ng'wanambiti! said...

hongera sana Da Mija!

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

heri yake!! miaka mingapi?

Simon Kitururu said...

Hongera sana za kiheri Da Mija!

Unknown said...

Mungu akupe maisha marefu.hongera

John Mwaipopo said...

aisssh! times run fast. juzi tu ulikuwa bagamoyo leo miaka hiyo tena.

hongera kuwa kuchana kalenda nyingine tena

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Hongera Da Mija. Hangamaga !!!

Mija Shija Sayi said...

Yasinta asante sana kwa kunipa nafasi kibarazani kwako, wengine pia asanteni sana kwa kunitakia maisha marefu na ya furaha. Mbarikiwe sana.

*Yasinta hiyo picha nilikuwa bado Kigoli pale Bagamoyo, nilikuwa naruka sarakasi kama sina akili nzuri vile..lol!!

Rachel Siwa said...

Hongera mwana Sayi!Mungu akuongezee mingine mingi!Sebha Akjhiwe!!!!!!!!!!

Raymond Mkandawile said...

Hongera dada Mija...Mungu akujal;ie maisha marefu zaidi.Hepi bethidei tu yuuuuu.....