Tuesday, August 19, 2008

KUMBUKUMBU,HISTORIA


Hili ni kanisa ambalo nilibatizwa, na nimesali tangu siku ile niliyobatizwa mpaka nilipokuwa darasa la nne. Sasa nimerudi tena baada ya kupoteana kwa muda wa miaka ishirini. Kanisa hili lipo katika kijiji cha Lundo kando ya ziwa Nyasa kusini magharibi mwa Tanzania. Na kanisa hili linaitwa MAKWAI.

2 comments:

Unknown said...

Hongereni kwa majengo mazuri ya makanisa naona kila picha ya kanisa jengo ni la maana kweli Nyasa mpo mbali!

Yasinta Ngonyani said...

karibu ujionee mwenyewe