Thursday, August 14, 2008

Agosti 14, 2008 MASHAIRI

MAPENZI
Mapenzi, mapenzi, mapenzi,
Ingekuwaje bila mapenzi,
Bila mabusu na kupapasana?
Mimi nakuwaza wewe tu,
Mikono yako wakati unaponigusa,
Macho yako na mikono yako unapotabasamu,
Maisha yanapendeza,
Mpenzi, nikumbatie mimi na sema ya kuwa unanipenda.

WEWE
Wewe mpendwa, wewe ni maisha yangu,
Ambaye nataka kuishi naye,
Katika ndoto zangu, katika ndoto za maisha nakushona na uzi wa dhahabu,
Rohoni mwangu, upo wewe na mimi, tumefungwa katika nyavu.

No comments: