Sunday, May 28, 2017

TUMALIZE JUMAPILI YA MWEZI HUU WA TANO KIHIVI,,,ASUBUHI NA NAFASI MPYA YA NDOTO ZAKO KUWA DHAHIRI

Asubuhi ni nafasi mpya ya kuzifanya ndoto zako kuwa dhahiri:- Fursa mpya, mipango mipya ...huja katika fikra.
Usifikiri sana kuhusu jana, juzi wala siku yoyote ambayo pengine ulikosa au ulishindwa jambo fulani...anza siku ya leo kwa kukiri kuwa itakuwa siku njema kuliko nyingine zote.
Siku, ni sehemu ndogo katika "MAISHA" ambayo Mungu hutuzawadia. Itumie vizuri, ifanye iwe ya MAANA KWAKO, USIPOTEZE TUMAINI....USIKATE TAMAA MUNGU YUPO PAMOJA NAWE SONGA MBELE DAIMA . Kumbuka "unaweza mambo yote katika yeye (MUNGU) akutiae nguvu" FIL 4:13 NAKUTAKIA ASUBUHI NJEMA, SIKU NA JUMAPILI YENYE BARAKA, AMANI NA FURAHA. AMINA!

No comments: