Monday, November 14, 2016

TUANZE WIKI HII NA KUTEMBELEA HUKO IRINGA KUANGALIA MICHORO YA ASILI...KUMBUKUMBU

Kwenye hili jiwe tunaona michoro ambayo hapo kale ilichorwa kwa ustadi mkuu ni michoro kama ile ya Kondoa.
Hapa ni jiwe Igereka lambalo lipo katika mtaa wa Kihesa Kilolo katika Manispaa ya Iringa Nkoani Iringa. Ukiwa maeneo ya Iringa usikose kutembele...FAHARI YA TANZANIA... JUMATATU NJEMA!

No comments: