Tuesday, November 15, 2016

MAVAZI: VALI LILILOSHONWA KWA KITENGE...TWAPASA KUJIVUNA!

Waafrika/watania tuna haki ya kujivunia vazi la KITENGE NA KANGA ambalo linaweza kubuniwa kwa mitindo mingi sana ya mavazi ebu angalia hili vazi...NIMELIPENDA SANA ningejua wapi ameshona ningeagiza. Kama kunayejua TAFADHALI ANIJUZE.

No comments: