Saturday, July 9, 2016

MAISHA:- KIPAIMARA CHA BINTI YA KAKA YANGU JANETH NGONYANI

Katika maisha ya ukuaji wetu  kuna mambo mengi tunapitia...kwa mfano maisha ya kidini kwa sisi WAKATOLIKI  ni ubatizo, komunio ya kwanza, kipaimara, ndoa,au sakramenti nyingine kama upadre nk...kwa hiyo binti yetu JANETH tarehe 3/7/2016 alipata KIPAIMARA...Nami kama shangazi yako nakupa HONGERA SANA KWA KUPOKEA SAKRAMENTI HII YA KIPAIMARA.
Naupenda sana mtindo ulioanzishwa sasa kwa uvaaji wa nguo za kipaimara...

No comments: