Pole pole ni mwendo...tutafika tu
 ....na pia madanda  yapo maana  tusikusahau mifugo....
.....matunda pia kama tuonavyo ndizi na miembe....mengine yanapandwa ........
kwa leo tuishie hapa.... kukiwa na mabadiliko basi tutajuzane. Tumwombe Mungu atujalie afya.



 
 
No comments:
Post a Comment