Tuesday, July 12, 2016

ILE NYUMBA YETU YA MBINGA HUU NDIO MWONEKANO WAKE KWA SASA

 Pole pole ni mwendo...tutafika tu
 ....na pia madanda  yapo maana  tusikusahau mifugo....
.....matunda pia kama tuonavyo ndizi na miembe....mengine yanapandwa ........
kwa leo tuishie hapa.... kukiwa na mabadiliko basi tutajuzane. Tumwombe Mungu atujalie afya.

No comments: