Monday, December 7, 2015

MRADI WA MAJI KUCHIMBA MTARO NA KUWEKA MABOMBA: HAPA NI KUSINI MWA TANZANIA KATIKA KIJIJI CHA MUHUKURU WANANCHI WAPO KATIKA KAZI YA KUPATA MAJI SAFI ONA WANAVYOSHIRIKIANA....

 Maji ni uhai wananchi wakiwa bega kwa bega kivhimba mtaro.
 Mtoto naye hayupo nyuma kushiriki zoezi hili muhimu.
Haikuishia hapo..Vijana nao wanashiriki kwa makini zoezi hili la mitaro.

No comments: