Tuesday, October 7, 2014

WATU 325 WAPATA MAUMIVU BAADA YA KUNYWA TOGWA YENYE SUMU SONGEA VIJIJINI KATIKA KIJIJI CHA LITAPWASI!!!!

Wagonjwa wapatao 325 wakiendelea kupata tiba ya kutoa sumu waliyo kunywa kwenye Togwa katika kijiji cha Litapwasi Songea Vijijini. Kulikuwa na sherehe ya kipaimara. Hapa ni hospital Peramiho.

No comments: