Tuesday, October 21, 2014

TUSISAHAU MIZIKI YETU YA ASILI PIA LUGHA ZETU ZA ASILI ...


Leo tuangalie na kusikiliza ngoma hii ya asili na mwanadada  Saida Karoli kutoka kwa ndugu zetu huko Bukoba. Ebu angalia mavazi na jinsi walivyojiremba na pia vyombo vya mziki vya jadi na ngoma. Hakika inapendeza na inapaswa kujivunia utamaduni huu. PANAPO MAJALIWA TUTAANGALIA KWA UKARIBU MAKABILA MENGINE NA UTAMADUNI WAO!!

No comments: