Friday, October 3, 2014

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA JANA JIKONI KWA KAPULYA YAANI MLO WAKE....IJUMAA NJEMA!!!

 
 Huu ulikuwa ni mlo wangu wajana  mchana supu ya mboga mboga..kama vile kabichi, karoti, nyanya, kitunguu bila mafuta.
Na hapa ni mlo wangu wa jana jioni samaki na saladi ya nyanya na spinachi  na kitunguu(kachumbali) hivyo ndivyo nilivyokula jana.TUKUTANE TANA PANAPO MAJALIWA:-)

6 comments:

Interestedtips said...

Yaani dada yangu kwa mapishi nakuaminiaaaaa........yaonekana tamu hasaaa

Yasinta Ngonyani said...

Mama Alvin...inabidi kama mama lazima familia inashiba bila hivyo hakuna raha.

Anonymous said...

Yami yami yami! Hongera kwa mapishi dada.

Anonymous said...

Vyakula asilia ndio kila kitu unapozungumzia lishe bora. Hongera sana kwa mapishi na ulaji wa mlo kamili (Balanced diet).

Anonymous said...

Hongera kwa mapishi. Tunawatakia wote sikukuu ya Eid na Baraka njema. by Salumu.

Yasinta Ngonyani said...

Usiye na jina wa 11:18AM ahasante...
Na usiye na jina wa 12.20PM vyakula vya asili ni mpango mmoja Ahsante kuliona hilo

Kaka Salumu Ahsante Eid na baraka njema kwako pia.