Monday, December 26, 2016

UJUMBE KUTOKA KWANGU KUJA KWENU KWA KUFUNGA MWAKA HUU 2016.

Kuna wakati unaweza kuwa na furaha hadi unasahau na kujiuliza kama kuna shida hapa dunuani....
Na kuna wakati unaweza kuwa na huzuni/matatizo hadi unasahau  na kujiuliza kama kuna kitu
kinaitwa furaha hapa duniani.....
Yote ni mzunguko wa maisha tunapita milima na mabonde, kwenye miiba na kwenye asali kitu cha muhimu ni kumuomba Mungu na kumshukuru kwa chochote kinachokuja mbele yako

No comments: