Tuesday, December 20, 2016

SALAMU KUTOKA KWETU RUHUWIKO...KAZI YA MIKONO YANGU...

 Nakumbuka siku niliyopanda hili nanasi na mengine nilichekwa sana nikaambiwa nadhani watu wanapanda kama mihogo. Ila sikukata tamaa leo matunda ni haya:-) KAZI YA MIKONO YANGU
Na hapa ni ndizi...  kwa hiyo ndugu zanguni karibuni sana Ruhuwiko ...

2 comments:

Anonymous said...

safi sana!

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante. ..na karibu sana