Friday, October 30, 2015

KWA VILE LEO NI IJUMAA NA PIA NI MWISHO WA JUMA PIA IJIMAA YA MWISHO YA MWEZI HUU WA KUMI BASI SI VIBAYA TUKIMALIZA KWA MTINDO HUU.....

 Akina mama wanachunja pombe ya kienyeji kama sio komoni basi ni myakaya tayari kwa kunywewa
Na hapa mzee kesha pata nusu yake .Nusu ni hicho kikombe anachonywea. Amewahi  maana yupo peke yake hapo ila muda si mwingi wengi watajitokeza. Ila tukumbuke pombe si maji kwa hiyo tuwe makini.....MWISHO WA JUMA UWE MWEMA KWENNU NDUGU ZANGU:-)

No comments: